Suu - Rapcha Lyrics
By: Admin | Artist: R rapcha | Published: 2024-22-09T00:25:17:00+07:00Lirikku.ID - Suu - Rapcha Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Suu - Rapcha Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton R rapcha. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Suu - Rapcha Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.
ugali wa kutosha na suk*ma wiki
on repeat, siku saba kwenye wiki
full
midoli inapamba magetto watoto wanacheza na miti, ntiti tu
riziki haizikibi wala hainunuliki na uwezo haufichiki rafiki
mkunga nmechelewa kufika kazini na watu wana uchungu na mziki
huu umaarufu ni mzigo wa mwiba
mi naubeba juu ya kipara kibabe
rapper anaetaka hii tabu itashuka vibaya athubutu hata anitaje
niko busy natengeneza culture ambayo watoto wenu lazma waifate
mfalme wa mwisho kwa kizazi chake
staki izo flowers i need a garden (wuuh)
mkandarasi niko zangu site vibarua njooni mbebe kokoto
nawachongea barabara ya rap, mwanaume kazini pita kushoto
na kwa mwendo huu nahisi ntabaki majivu maana nin*z*di kuwa wamoto
rapcha ni sumu ya panya ushajua umbali gani natakiwa nkae na watoto
(lighter sound) oh my god!
kazi na dawa ije pesa na power
ukishiba faida umekula loss
koti la babu for now liko safi ‘coz chawa wanaishi kwenye koti la boss
naulizwa kipindi gani huwa naenda nyumbani kukoga kukosha mikosi
of course mangi hata kabla ya decеmber utaniona tu hai nikitoka moshi
ushindi hujaga na pain, ukija na favor tu jua kuna siku utapay
na bei inakua haisogei, dеlay ikizidi tu boss ananuna haongei
na daily wanakukebehi
waliokubeba wanabwaga hawakutetei
vikwazo kwenye high way
then jina lako w*n*lizika day by day
nashinda mpaka sienjoy pambano
so mimi ni mfano sistahili shindano
bar kwa bar hakuna mchuano
nkiskia tu mwano naleta kibano
namaliza awamu naongeza mitano
jimboni mtaniona after miaka mitano
ukiwa kwa sangoma unachanwa na nyembe we bwege hospitali unaogopa sindano
shhh bar zinaingia kwa mwili
usichezeshe tako ilo utavunja syringe
safari njema ka una catch feelings
wenzako wanakusubiri
nashusha fire now sema suu
namchana idol wako sema suu
99 hatuingiwi kiboya boya watakuvunja taya sema suu
nani anataka noma sema suu
toa hata ka mguno sema suuu
nalea watoto silei ujinga natia tu block chap sema suuu
nafanya nlichozaliwa kufanya ukinibania i don’t really care
huwezi shindana na kazi ya mungu ukadhani watoto wake watakuchekea
radio mbao frequency inasomeka 99 now on air
mnaeza kutafuta kazi nyingine maana huu mziki nawaonea
nashusha fire now sema suu
namchana idol wako sema suu
99 hatuingiwi kiboya boya watakuvunja taya sema suu
Saksikan Video Suu - Rapcha Lyrics Berikut ini..
Random Song Lyrics :
- vencer o morir - danna lyrics
- ballata triste - nada lyrics
- when you on - young diamond lyrics
- coração não tem idade (vou beijar) - toy lyrics
- we meet, we part, we remember - the holmes brothers lyrics
- beretta - turn lyrics
- one time - spring hill lyrics
- retaliation - vicious lyrics
- either way - dyve lyrics
- 32stel - vbt 2018 - engine itano lyrics