Rais Wa Kitaa - Nay wa Mitego Lyrics
By: Admin | Artist: N nay wa mitego | Published: 2024-24-09T02:28:59:00+07:00Lirikku.ID - Rais Wa Kitaa - Nay wa Mitego Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Rais Wa Kitaa - Nay wa Mitego Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton N nay wa mitego. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Rais Wa Kitaa - Nay wa Mitego Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.
niliyesimama mbele yenu sio mbunge ni msanii
natumia sanaa kuitetea jamii
naongea nikiwa bongo sitakimbia kama roma
mkiniteka mkinifunga bado dunia itasonga
nani kamwambia mheshimiwa eti tumekubali tozo
hapana sio tanzania labda zambia au congo
makato ni makubwa wananchi wanaumia
hivi ni kwamba hamskii au ndo mnapuuzia?
mishahara ya wabunge ni jasho la wananchi
spika naongea na wewe kwa niaba ya wenye nchi
kuna wabunge k*mi na tisa walishaf*kuzwa na chama
chadema ina maana hawana chama
na bado nao bungeni na wanapokea mshahara
hivi unatuchukulia aje unatuona bongolala?
wimbo ulianza taratibu na sasa umepamba moto
unapendwa na wananchi kwa viongozi kaa la moto
katiba mpya ni sasa, katiba mpya ni sasa
wanaoimba ni wananchi pamoja na wanasiasa
mafuta bei juu, gesi bei juu
kila kitu bei juu, mtatuua mwaka huu
sukari imepanda bei
luku tozo pesa wapi nitakope?
nani atusemee, semee sisi wanyonge
wacha niwasemee
nani atusemee, semee sisi wanyonge
rais wa kitaa
sukari imepanda bei
luku tozo pеsa wapi nitakope?
shebi huku miriamu wameikataa
chombo mikokotе
nani atusemee, semee sisi wanyonge
ni rais wa kitaa
nani atusemee, semee sisi wanyonge
tusijiite wanyonge hapana nakataa
mi ni mmoja kati waliosema unaupiga mwingi
nahisi una makocha wengi watakukosesha vingi
nilikwambia hawakupendi wameshakuingiza kingi
wanakitaka hicho kiti wana tamaa hao madingi
hey wapi na wapi? nchi ya wapi?
mpangaji *n*lipa kodi na tozo ya jengo
huu ni wizi na mnaiba bila kutumia akili
hivi nani anawashauri, mnajichimbia kaburi
uchumi hukua kwenyu kwa wananchi sufuri
siku hazigandi ni swala tu la muda
acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja
oyaa wanangu wee, corona kweli ipo
nawa mikono vaa barakoa kwenye mkusanyiko
nchi na mambo hii yataka moyo kuwa mpinzani
yaani unabambikiwa kesi na unasota gerezani
mnajenga mimba za chuku hamjifunzi kwa majirani
mbunge lenyewe chama kimoja si mfute tu upinzani
mbaki wenyewe tusitafute mchawi nani?
sukari imepanda bei
luku tozo pesa wapi nitakope?
nani atusemee, semee sisi wanyonge
wacha niwasemee
nani atusemee, semee sisi wanyonge
rais wa kitaa
sukari imepanda bei
luku tozo pesa wapi nitakope?
shebi huku miriamu wameikataa
chombo mikokote
nani atusemee, semee sisi wanyonge
nani atusemee, semee sisi wanyonge
hii ni tozo babu kubwa, babu kubwa
au sio wanangu sema babu kubwa
‘tozo babu kubwa’
hii ni tozo babu kubwa, babu kubwa
au sio wanangu sema babu kubwa
‘tozo babu kubwa’
Saksikan Video Rais Wa Kitaa - Nay wa Mitego Lyrics Berikut ini..
Random Song Lyrics :
- driving - 2-20 lyrics
- good friends - jeffrey james lyrics
- wie sou jou kon liefhê? - patricia lewis lyrics
- poetic justice - quando rondo lyrics
- lascia che sia - luca vernengo / luker lyrics
- stop calling me - lil fly lyrics
- lust or love - aftertheconcert lyrics
- pretender - sahara beck lyrics
- veneno - don john lyrics
- querida helena - eddi circa lyrics