lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Nikumbushe - Nandy Lyrics


By: Admin | Artist: N nandy | Published: 2024-23-09T16:19:08:00+07:00
Nikumbushe - Nandy LyricsLirikku.ID - Nikumbushe - Nandy Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Nikumbushe - Nandy Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton N nandy. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Nikumbushe - Nandy Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
pale mambo yanapoonekana hayaendi
ni ajabu sana namna moyo unahangaika
ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka yakwamba
j*pokuwa mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu
j*pokuwa mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu, ahh
nak*mbuka wana wa israel katika bahari yashamu
j*po walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi
kwa nyimbo nyingi waliimba na k*msifu bwanaa
lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa
yalibadilika mambo, manung’unikoo yalisimama
na kusahau muujiza alotenda bwana mwanzo aah
eee mungu nisaidie ee eeh
nik*mbushe wema wako nisije laumu
nik*mbushe ukuu wako wakati wa magumu
nik*mbushe shuhuda zako ili nikusifu
niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
eeh ee mungu nisaidie
nisaidie kuk*mbuka baba yakwamba umenichora
kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh
na mimi umenionaa oooh ooo
nik*mbushe baba yakwamba ni wewe umeniponya nilipoumwa
yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni
ouoh ooh yakwamba kama ungeniacha hatua moja
nisingelifika nilipo ooh eee babaa
umenikung’uta mavumbi, kung’uta
mavumbi mimi na kuniheshimisha
nik*mbushe wema wako nisije laumu
nik*mbushe ukuu wako wakati wa magumu
nik*mbushe shuhuda zako ili nikusifu
niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
nik*mbushe wema wako nisije laumu
nik*mbushe ukuu wako wakati wa magumu
nik*mbushe shuhuda zako ili nikusifu
niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
yesu nakutazama ninakuamini wewe
fungua maisha yangu, nisaidie nisilalamike
mbele zako, katika hali zote nijue upo
umesema hutaniacha eeh yahweh


Saksikan Video Nikumbushe - Nandy Lyrics Berikut ini..


Random Song Lyrics :

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...

LIRIK YANG LAGI HITS BULAN INI

Loading...