Njoo Kwa Mtu Mkweli - Mwanahawa ally Lyrics
By: Admin | Artist: M mwanahawa ally | Published: 2024-01-10T14:16:35:00+07:00Lirikku.ID - Njoo Kwa Mtu Mkweli - Mwanahawa ally Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Njoo Kwa Mtu Mkweli - Mwanahawa ally Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton M mwanahawa ally. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Njoo Kwa Mtu Mkweli - Mwanahawa ally Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.
verse 1
huyo wewe ulonae wala hakustahiki
huyo wewe ulonae wala hakustahiki
bure kupendana nae kujitia kwenye dhiki
bure kupendana nae kujitia kwenye dhiki
njoo kwa akupendae, utoke kwenye khilaki
njoo kwa akupendae, utoke kwenye khilaki
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
verse 2
njoo kwa mtu mkweli, hatojua kukuenzi
njoo kwa mtu mkweli, hatojua kukuenzi
alo na pеndo la ghali lisilo na pingamizi
alo na pendo la ghali lisilo na pingamizi
njoo uingie hali, utoke kwеnye simanzi
njoo uingie hali, utoke kwenye simanzi
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
verse 3
hujaonja ladha yake, hujayajua mapenzi
hujaonja ladha yake, hujayajua mapenzi
hujui haiba yake, siri hujaimaini
hujui haiba yake, siri hujaimaini
shuruti utoke kwake, uje kwa alo mjuzi
shuruti utoke kwake, uje kwa alo mjuzi
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
verse 4
ukijaa utaenziwa kwa utashi na kwa haki
ukijaa utaenziwa kwa utashi na kwa haki
kw*ngu utahifadhiwa na wala sikuepuki
kw*ngu utahifadhiwa na wala sikuepuki
pendo langu la huruwa, sifa yangu sigeuki
pendo langu la huruwa, sifa yangu sigeuki
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
Saksikan Video Njoo Kwa Mtu Mkweli - Mwanahawa ally Lyrics Berikut ini..
Random Song Lyrics :
- i love the dark - dreventy lyrics
- if you want it - rex orange county lyrics
- legendary beatdown - recd lyrics
- quiero volver - lvl lyrics
- diplomatische immunität - kollegah lyrics
- fatal flaw - aiden dawson lyrics
- i'm sorry - asher postman lyrics
- faster than the flame - copper chief lyrics
- uzak dur - laedri lyrics
- can't get out of bed (remix) - crimson apple lyrics