lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Fanya Sana - Kyki Lyrics


By: Admin | Artist: K kyki | Published: 2024-20-09T19:01:41:00+07:00
Fanya Sana - Kyki LyricsLirikku.ID - Fanya Sana - Kyki Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Fanya Sana - Kyki Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton K kyki. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Fanya Sana - Kyki Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

[hook]
nafanya sana, nafanya sana
kila kitu nafanya sana
nikianguka, nainuka nafanya tena
nafanya sana, kila kitu nafanya sana (fanya sana)
nafanya sana, nafanya sana
kila kitu nafanya sana
nikianguka, nainuka nafanya tena
navuta sana, wanasema ni laana (najua maana)

[verse 1]
oooh! i’m on the road like my last name’s go
na-disinfect rappers, shares ziko dettol
kipaji kubwa though, 5 feet tall
nitajigamba sana nikihama rental
na sina marafiki isipokuwa mashabiki
kyki viki mazishi ya wanafiki
navuta mizizi kama n-z-zi ki-kichizi
nawavuta na mziki, si hirizi, kykiiiki!
napenda social media though i’m not social
you must pay my money before that show
on the mic, i’m the doctor so i don’t consult
players score no goal, they hit my post

[hook]
nafanya sana, nafanya sana
kila kitu nafanya sana
nikianguka, nainuka nafanya tena
nafanya sana, kila kitu nafanya sana
nafanya sana, nafanya sana
kila kitu nafanya sana
nikianguka, nainuka nafanya tena
navuta sana, wanasema ni laana

[verse 2]
oooh! nina piercings, sina tattoos
i give soul food like erykah badu
i cook like i’m the paris ratatouille
and i rap like kenyan rat-a-tat
siko spoilt but i stunt like da brat
and to my haters i am blind like a bat
and this year nitawapa heart attacks
make no mistake, i do this for my stacks
even heaven knows that i’m a star (shining bright)
schooling rappers, yet i’m not a lecturer
nimechizi kwenye medulla, ndio maana nywele medusa
strange creature, i’m not regular

[hook]
nafanya sana, kila kitu nafanya sana
nikianguka, nainuka nafanya tena
nafanya sana, kila kitu nafanya sana (fanya sana)
nafanya sana, nafanya sana
kila kitu nafanya sana
nikianguka, nainuka nafanya tena
navuta sana, wanasema ni laana

nafanya sana, nafanya sana
kila kitu nafanya sana
nikianguka, nainuka nafanya tena
nafanya sana, kila kitu nafanya sana

[verse 3]
najua ninachokitaka maishani
so usishangae nikilima mashinani
hii show na-run kama padre kanisani
n-ggas thirsty ama ni cotton mouth, wapewe dasani
mtaani no mitani ni money moves na majirani
no monkey business, sipendi nyani
maskani sipatikani, usingizi sipati
nafanya sana yaani hadi nijenge beach house nyali
mtanikoma mimi nyinyi (nafanya sana)


Saksikan Video Fanya Sana - Kyki Lyrics Berikut ini..


Random Song Lyrics :

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...

LIRIK YANG LAGI HITS BULAN INI

Loading...