Sorry - Harmonize Lyrics
By: Admin | Artist: H harmonize | Published: 2024-21-09T17:57:35:00+07:00Lirikku.ID - Sorry - Harmonize Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Sorry - Harmonize Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton H harmonize. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Sorry - Harmonize Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.
in this world n0body is perfect
we all do mistakes so forgiveness is all we have
and we only got one life here on this earth
this one for you, for you you you
mi ni mwanadamu sijakamilika
hadi siku ya mwisho wataponizika
usisahau zuu hana kosa malaika
chonde unisamehe
busara zako na upole kadhalika
haki ni wazi haviwezi vikavunjika
najua hayazoleki yakimwagika
baby unisamehe
namaliza wiki, nyumbani sifiki
simu zako sishiki, busy na marafiki
ona aki ni wazi ulinivumilia vipi
tena vyenye dhamani kushinda shilingi
ni wazi siwezi kupinga
maana mi ni mwanadamu
na inatokea kuteleza
ila ningeonekana mjinga
ningeikana damu
naamini hata mungu
isingeweza k*mpendeza
am sorry sorry sorry sorry sorry, sorry
so lonely lonely lonely lonely, lonely
am worried worried worried
worried for you
am sorry sorry sorry sorry sorry
so lonely lonely lonely lonely, lonely
i worry worry, i worry
i worry for you
basi fanya unisamehe
oh oh oh nisamehe
oh oh oh nisemehe
nimekosa naomba
unisamehe, unisamehe
unisamehe nimekosa naomba unisamehe
unapohesabu makosa yangu usisahau na mema
nitunzie pia mapungufu yangu kwa watu usije ukasema
shilingi imeshazama kwenye shimo oh oh
kamwe siwezi pata tena
machozi yaso na kipimo oh oh
hata nikifumba macho yananipenya
ninacho amini haikupangwa mi na wewe
tuwe wote mpaka siku ya mwisho
hakuna nilichofanya makusudi
ndo maana hadharani nikajirudi
na hakuna chenye mwanza duniani
kikakosa kuwa na mwisho
ndo hivo tena sina budi
na sina maana nataka urudi
no matter kesi gani nitabaki na hamu
ila singeweza kuikana damu
maana kitanda hakizai haramu nenda salama unisamehe
am sorry sorry sorry sorry sorry, sorry
so lonely lonely lonely lonely, lonely
am worried worried worried
worried for you
am sorry sorry sorry sorry sorry
so lonely lonely lonely lonely, lonely
i worry worry, i worry
i worry for you
basi fanya unisamehe
oh oh oh nisamehe
oh oh oh nisemehe
nimekosa naomba
unisamehe, unisamehe
unisamehe nimekosa naomba unisamehe
Saksikan Video Sorry - Harmonize Lyrics Berikut ini..
Random Song Lyrics :
- ghost of a man - jack ingram lyrics
- step back - tommy lellan lyrics
- i got a thing for you - kai (band) lyrics
- left for dead - american nightmare lyrics
- halls of terror - morbid saint lyrics
- how would you do it - medi lyrics
- freeborn - stormwarrior lyrics
- mk ultra - sitd lyrics
- vacche sacre - falso menestrello - latte e miele lyrics
- sapņu princis - raimonds pauls lyrics