lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Masheesha - H_art the Band Lyrics


By: Admin | Artist: H h_art the band | Published: 2024-25-09T18:14:25:00+07:00
Masheesha - H_art the Band LyricsLirikku.ID - Masheesha - H_art the Band Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Masheesha - H_art the Band Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton H h_art the band. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Masheesha - H_art the Band Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

[intro: cedo]
[?], h_art the band
h-underscore-a-r-t the band, ha-ha-ha
and now the big man himself bensoul, 254, and cedo
(hahahahaha) ha-ha-ha-ha, cedo

[verse 1: mordecai mwinyi and kenneth muya]
oh boy, ha
msupa w-ngu anataka masheesha
na kwa mf-ko pesa zangu zimeisha
na yule waiter ananitisha
ati ma-bouncer atawaita
na huyu dem bado anaitisha
na mi nashindwa sasa venye nitazusha
tulipatana juzi kwenye insta-grrram
na mi sitaki choma picha

[chorus: mordecai mwinyi]
itakua ngori, sikiza story
wacha kuckeka, hii ni ngori, nilimwacha bila sorry
na ukicheza utapatana na ye, patana na ye
patana na ye, ye, ye, ye, ye (demu wa masheesha)
utapatana na ye, patana na ye
patana na ye, ye, ye, ye, ye, ye (demu wa masheesha)
utapatana na ye, patana na ye
patana na ye, ye, ye, ye, ye (demu wa masheesha)
patana na ye, patana na ye
patana na ye, ye, ye, ye, ye, ye-eh (demu wa masheesha)

[verse 2: bensoul]
kwenye profile, mimi ni lawyer
kizungu tamu kama ile ya lumumba
lakini ukweli, mimi ni hawker
nina thao mbili, manze, leo kulidhoka
makanjo walinishika
hata ni bahati, stenje, bado sijafika
na huyu dem, zake bado hazijashika
mzinga tatu sasa zimekatika, eh

[chorus: mordecai mwinyi and bensoul]
itakua ngori, (woi, woi, woi) sikiza story (oh no)
wacha kuckeka, hii ni ngori, nilimwacha bila sorry
na ukicheza utapatana na ye, patana na ye
patana na yeye, wewe (demu wa masheesha)
utapatana na ye, patana na ye
patana na yeye, wewe (demu wa masheesha)
ukicheza utapatana na ye, patana na ye
patana na yeye, wewe (demu wa masheesha)
utapatana na ye, patana na ye
patana na ye, ye, oh, oh, woah, woah (demu wa masheesha)

[bridge: mordecai mwinyi]
sasa nawaza vile nitaenda choo
nitoroke huko nyuma, backdoor
akinisaka, asinipate ng’oo
akiuliza, aambiwe nime-go
lakini vile mi naenda kuch0m-ka
yule waiter akaniona
hiyo bill akai-drop, na kwa mf-ko, mimi sina hata bob

[chorus: mordecai mwinyi and bensoul]
itakua ngori, huh, sikiza story
wacha kuckeka, hii ni ngori, nilimwacha bila sorry
na ukicheza utapatana na ye, patana na ye
patana na yeye, wewe, eh (demu wa masheesha)
utapatana na ye, patana na ye
patana na yeye, wewe, eh (demu wa masheesha)
utapatana, patana, patana, patana
patana na yeye, wewe, yeah (demu wa masheesha)
utapatana na ye, patana na ye
patana na ye, ye, woah, woah (demu wa masheesha)
utapatana na ye, patana na ye
patana na ye, yeah (demu wa masheesha)
unaweza patana na ye, patana na ye
patana na ye, ye, ye-ye-ye (demu wa masheesha)
unaweza patana na ye, patana na yeye
patana na ye, yeah (demu wa masheesha)
oh, utapatana na ye, patana na ye
patana na yeeh, yeye, yeye, eh (demu wa masheesha)


Saksikan Video Masheesha - H_art the Band Lyrics Berikut ini..


Random Song Lyrics :

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...

LIRIK YANG LAGI HITS BULAN INI

Loading...