lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Lirik Lagu Dr xolly(bwana Harusi) – Manka


By: Admin | Artist: D dr xollybwana harusi | Published: 2024-14-05T09:02:55:00+07:00
Lirik Lagu Dr xolly(bwana Harusi) – MankaLirikku.ID - Lirik Lagu Dr xolly(bwana Harusi) – Manka: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Lirik Lagu Dr xolly(bwana Harusi) – Manka" yang dinyanyikan oleh Toton D dr xollybwana harusi. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Lirik Lagu Dr xolly(bwana Harusi) – Manka Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

intro

untouchable g~nius..

chombaa :

(chombaa mellody..she coming in love..ameniteka..)

h~pol

dr xolly :

(bwanaharusiiii)

dr xolly : habari bro..

chombaa : yes!!

dr xolly : bila shaka unatokea..

chombaa : okey..!!

dr xolly : kwenye nyumba ile kama sijakosea..
nimetoka umbali mrefu mixer kuotea..
najiuliza nimefika au nimepotea..

chombaa : mmmmmhhhhh..
nikweli ndo hapa mimi,na kwenye nyumba ile nimetokea..
kuna mgeni nimeagizwa nije mara moja k~mpokea..
au huenda ndio wewe..??
dr xolly : yes!! yes!! ndio mimi..!!!
chombaa : nielezee nijuee..eeeeh..mlikutana vipi na yeye..yeyeeh..

dr xolly : nilikutana naye chochoroni soko jipya..
moja kati ya wauzaji mi pekee ndio akaniita..
kuniuliza apate wapi nzuri tangawizi..
nikamweleza jirani tuuu kwa mwanangu wizzzz…

chombaa : mbona lugha unanichanganya huyu mtoto hajazoea
wahuni

dr xolly : hapana brother mi ni mwema wala sio mwizi..
niko safi kitabia ila mavazi ya sikuhizi..

chombaa : mbona kama unajikanyaga acha nikuulize swali unijibu..
anaitwa nani..???
dr xolly : anaitwa manka…
chombaa : ngozi rangi gani..??
dr xolly : udongo wa makah
chombaa : anacheka cheko ganii..??
dr xolly : cheko lake la kinuksii..
chombaa : mavazi aina gani..??
dr xolly : dolce,cabanna gucci..

chombaa : yule binti ana makuzi..tabia utamuwezaa..??
kutwa kucha ana mashauzi..je! mwenzangu utamuweza..?

dr xolly : kivipi au ndo pigo za kichagani..
nieleze ili nijue isiwe mguu nje, mguu ndani..

chombaa : mchaga ni mama yake sio yeyeee..
lakini baba yake mkerewee..
kwani zawadi umesahau..maana atahisi umemdharau..
ila kama chochote angalau..
tonge mdomoni ukashindwe mwenyewe…

dr xolly : mbona balaa maana nina zawadi za kibishi..
bonge la kitenge rangi kijani kibichi..
pia sikusahau nikapitia na mapipi..
sokoni nikakusanya avocado na matikiti..
hapo vipi…????

chombaa : hapo sawa..ndo mahali pake..utafanya tu achekeee…

dr xolly : daah!! raha sana yani ok ngoja nikuulize anko..
kwani unaitwa nani kwanii..??
chombaa : uncle yake yeyeee..
dr xolly : una kazi gani pale kwani..??
chombaa : mi ni gatekeeper..
dr xolly : toka muda gani yaani kwani..??
chombaa : haikuhusu we nifate..ingia ndani tumeshafikaa..
dr xolly : k~mbe ma~best eeeeehhh..???


Saksikan Video Lirik Lagu Dr xolly(bwana Harusi) – Manka Berikut ini..


Lirik lagu lainnya: