Miss Tamaduni - Dizasta vina Lyrics
By: Admin | Artist: D dizasta vina | Published: 2024-25-09T01:24:09:00+07:00Lirikku.ID - Miss Tamaduni - Dizasta vina Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Miss Tamaduni - Dizasta vina Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton D dizasta vina. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Miss Tamaduni - Dizasta vina Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.
miss tamaduni lyrics
verse 1
yo! eyo, najawa na hisia
kila upepo unapopita nimeshachoka kulia
hakuna malkia aliyenishika kama huyu
wengi walikuja wakasepa
walijaa wakachuja sasa wanavuja kama necta
haihitaji kibito kuamini nampenda
nami sihitaji jicho wala denda
hanivulii kama new star, uso wa screen show
sipendi kucheza na love kama keyboard
yeah, cheki shingo ya mbuni
me napenda jinsi anavyo dress kitamaduni
nisijejuta na nadata na idara
nakenua kama mvuta aliyeona kasha la sigara
yeah, kuna majaribu na silegi
siwazi kuwa mbali walio karibu hawalengi
sahau pesa sahau kuhusu chapa na bring
vicheche jipange nipo kwenye chaka sahihi
mbishi nimefyata, unanikimbizia maduu mpaka wanahisi wananyata
ona manyoya, paka nimelowa
siku hizi nang’aa kama nimezama kwenye chaka la doa
chorus
iwe leo au kesho, utabaki kuwa special
iwapo kеsho, kwa mabishoo we commercial
miss tamaduni habari ya mjini
you’re somеone special
asili ya nyumbani ubora na wathamani
you’re someone special, you’re someone special
verse 2
sijakijua kilele
ila mapenzi kama mvua nataka kuugua milele
unatambua nagombea hifadhi
wakikuchukua nitafight kama nagombea mirathi
wameota tende waliodharau mwiba
njoo unipende mpaka nisahau shida
natafuta usilale na njaa
wambie wanyakyusa sihitaji ushauri na saha
nimepotea na sitaki tafuta dira
njoo uniweke kwenye chupa za kimila
chagua kucheza popote unapotaka
iwe winger ama forward hakuna anayekukaba
mimi na we’ kwenye raha na shida
njaa na kushiba, furaha na msiba
sikia, msimu mbichi ama mkavu njoo
hakika you’re the queen of my love show
forget the fact that i’m a super star
sinywi pombe ukinitosa me nitakufa baa
sikia vinanda sikia drum kits
uwe sawa na dizasta kwenye track
chorus
iwe leo au kesho, utabaki kuwa special
iwapo kesho, kwa mabishoo we commercial
miss tamaduni habari ya mjini
you’re someone special
asili ya nyumbani ubora na wathamani
you’re someone special, you’re someone special
Saksikan Video Miss Tamaduni - Dizasta vina Lyrics Berikut ini..
Random Song Lyrics :
- pelo suelto - fea lyrics
- the dawn - cole miller island lyrics
- то, чего нет (what isn’t there) - pharaoh lyrics
- 3-litrowy sok pomarańczowy - s00ka lyrics
- 쉽게 쓰여진 노래 (a song written easily) - oneus lyrics
- hold me close - sam feldt lyrics
- hope it hurts - dabin lyrics
- los días que no están - barbi recanati lyrics
- the only one - deep south worship lyrics
- choppa hit - kenny the kid lyrics