lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Natamani - Diamond platnumz Lyrics


By: Admin | Artist: D diamond platnumz | Published: 2024-24-09T10:25:22:00+07:00
Natamani - Diamond platnumz LyricsLirikku.ID - Natamani - Diamond platnumz Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Natamani - Diamond platnumz Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton D diamond platnumz. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Natamani - Diamond platnumz Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

[chorus]
mi kweli natamani siku iwezekane
nfumbue macho mi kuona
nijue sababu gani, unanipenda sana
wakati siwezi mi kuona?
mi kweli natamani siku iwezekane
nfumbue macho mi kuona
nijue sababu gani, unanipenda sana
wakati siwezi mi kuona?

[verse 1: diamond platnumz]
mara nyingi peke yangu nawaza
namuomba mungu nisije kukwaza
nikaja kukupa maudhi na nafsi kuichoma
chei! tena usiku mzima nalia darling
napiga goti kwa mola nasali
azidi tupe baraka tusije kosa dona

[pre-chorus]
eh! mi macho yangu
nimejaliwa mboni lakini nuru sina
ningekuwa na uwezo
ningefanya kazi nikuhudumie
upofu w-ngu ndio kikwazo kikubwa
mwenzako raha sina
lakini unanijali
mbali na mengi unanipenda sana

[chorus]
mi kweli natamani siku iwezekane
nfumbue macho mi kuona
nijue sababu gani, unanipenda sana
wakati siwezi mi kuona?
mi kweli natamani siku iwezekane
nfumbue macho mi kuona
nijue sababu gani, unanipenda sana
wakati siwezi mi kuona?

[verse 2: diamond platnumz]
nasikia kuna rangi ya upendo
ili upendwe kuna pozi za mwendo
utanashati
udambudambu na urembo mi sina
mi natamani nitazame
kwa ardhi na mbingu nilalame
nipande mawingu na niliname
uwenda nikaona

[pre-chorus]
eh! mi macho yangu
nimejaliwa mboni lakini nuru sina
ningekuwa na uwezo
ningefanya kazi nikuhudumie
upofu w-ngu ndio kikwazo kikubwa
mwenzako raha sina
lakini unanijali
mbali na mengi unanipenda sana

[chorus]
mi kweli natamani siku iwezekane
nfumbue macho mi kuona
nijue sababu gani, unanipenda sana
wakati siwezi mi kuona?
mi kweli natamani siku iwezekane
nfumbue macho mi kuona
nijue sababu gani, unanipenda sana
wakati siwezi mi kuona?

[outro]
nikuone mama, niweze tazama
everybody say, eh eh eh eh eh
eh eh eh eh eh eh
eh eh eh eh eh eh
i love you, nakupenda
tena! eh eh eh eh eh
eh eh eh eh eh eh
eh eh eh eh eh eh
i love you, nakupenda
say, eh eh eh eh eh
eh eh eh eh eh eh
eh eh eh eh eh eh
i love you, nakupenda


Saksikan Video Natamani - Diamond platnumz Lyrics Berikut ini..


Random Song Lyrics :

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...

LIRIK YANG LAGI HITS BULAN INI

Loading...