lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Lirik Lagu Diamond platnumz – Ntaanzaje


By: Admin | Artist: D diamond platnumz | Published: 2024-12-07T12:42:18:00+07:00
Lirik Lagu Diamond platnumz – NtaanzajeLirikku.ID - Lirik Lagu Diamond platnumz – Ntaanzaje: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Lirik Lagu Diamond platnumz – Ntaanzaje" yang dinyanyikan oleh Toton D diamond platnumz. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Lirik Lagu Diamond platnumz – Ntaanzaje Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

(ayolizer)
aliumba ardhi akaumba mbingu
akaumba mbaramwezi
kaumba nafsi, kaumba wivu
akayaumba na mapenzi

na kukuacha sidhani, siwezi jaribu
maana penzi kwa mzani, umenizidi mahabibu
shika vyema usukani, twende taratibu
baada ya tuta baby koleza gear

yaani tam tam kama pipi
nakuita sweet, ah lote lote
fundi kwenye kwichikwichi
shape vipi? kama lote

vicheche nisha delete
sitaki cheat, wa toke toke
kwenye moyo nimekupa seat
we ndo dereva, so kukuacha oh

naanzaje? (ooh mimi)
naanzaje? (aah mimi hapa)
naanzaje? mwenzako kukuacha siwezi

naanzaje? (ooh mimi)
naanzaje? (aah mi jamani)
kukuacha oh, kabisa siwezi
hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
vishenshuda poleni woo, mnalo wambeya
mtaja kuumwa makwashakoo, kwa kutuongelea

tena me kwake ndo daktari, nampa tiba halali
wanaitaga sukari, alamba haa!
na jana nilifunga nikasali, nikamuomba jalali
tuepushe madhohari, ya wanadamu

ah ah, we mtam tam kama pipi
nakuita sweet, ah lote lote
fundi kwenye kwichikwichi
shape vipi? kama lote

vicheche nisha delete
sitaki cheat, wa toke toke
kwenye moyo nimekupa seat
we ndo dereva, so kukuacha woo woo

naanzaje? (ooh mimi)
naanzaje? (aah mimi hapa)
naanzaje? mwenzako kukuacha siwezi

naanzaje? (ooh mimi)
naanzaje? (aah mi jamani)
kukuacha oh, kabisa siwezi
na kukuacha sidhani
siwezi jaribu
maana penzi kwa mzani
umenizidi mahabibu

(wasafi)


Saksikan Video Lirik Lagu Diamond platnumz – Ntaanzaje Berikut ini..


Lirik lagu lainnya: