lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Kibubu - Cloudy 9 Lyrics


By: Admin | Artist: C cloudy 9 | Published: 2024-22-09T04:43:17:00+07:00
Kibubu - Cloudy 9 LyricsLirikku.ID - Kibubu - Cloudy 9 Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Kibubu - Cloudy 9 Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton C cloudy 9. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Kibubu - Cloudy 9 Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

[intro: cloudy 9]
waaooh!
cloudy 9 aaah!
mkwawa on the beat
icebox music
ibox
waaoh!

[verse 1: cloudy 9]
kibubu, bank yangu ya ghetto
inanifanya mara nyingi natimiza zangu ndoto
sihitaji riba maana usawa unakaba
bora kwenye haba haba hapa najaza kibaba
ziwe sarafu ama noti, natupia pale kati
hesabu zangu zipo wazi sihitaji bank account
na siwezi lipa kodi nifaidishe mafisadi
kodi kwenye huduma, bidhaa pia zapiga hodi
taasisi za fedha mmenikosa kabisa
miamala yangu naiendesha bila hofu ya pesa
hakuna foleni natumia navyotaka
huwezi ukazuia matumizi umenipata

[hook: cloudy 9 & mkwawa]
kibubu, kibubu, kibubu
bank yangu ya ghetto
kibubu, kibubu, kibubu
hii ndio bank yangu ya ghetto
sihitaji riba maana usawa unakaba
bora kwenye haba haba hapa najaza kibaba
kibubu, kibubu, kibubu
bank yangu ya ghetto
kibubu, kibubu, kibubu
hii ndio bank yangu ya ghetto

[verse 2: cloudy 9]
money in, money out, all bout the cash flows
tryna raise the money high, big stacks, bank-rolls
no atm, strong-room, even bank-vaults
i got kibubu a.k.a safe money box
you can never steal cuz u know i got the money
if you wanna get it come follow iringa town
i’m from the ghetto but i wanna be rich
i save the money cuz im gonna be rich
if you got no money please dont disturb
she wanna be with me cuz i got it kibubu
hakuna foleni natumia navyotaka
huwezi ukazuia matumizi umenipata

[hook: cloudy 9 & mkwawa]
kibubu, kibubu, kibubu
bank yangu ya ghetto
kibubu, kibubu, kibubu
hii ndio bank yangu ya ghetto
sihitaji riba maana usawa unakaba
bora kwenye haba haba hapa najaza kibaba
kibubu, kibubu, kibubu
bank yangu ya ghetto
kibubu, kibubu, kibubu
hii ndio bank yangu ya ghetto

[bridge: cloudy 9 & mkwawa]
nkivunja kibubu utanikuta magic site
nkivunja kibubu ni bwawani camp site
nkivunja kibubu ni ruaha national park
isimila, kalenga, ziwa nyasa, mbeya city

[repeat]
nkivunja kibubu utanikuta magic site
nkivunja kibubu ni bwawani camp site
nkivunja kibubu ni ruaha national park
isimila, kalenga, ziwa nyasa, mbeya city
uwiiiiiih,.waaao!

[outro: mkwawa]
kwa wale wenye vibubu
counting the money down
tukutane kwenye starehe,..
hahah, mkwawaaaa…

[outro: cloudy 9]
icebox music..
mkwawa on the beat mayne

[hook: cloudy 9]
kibubu, kibubu, kibubu
bank yangu ya ghetto
kibubu, kibubu, kibubu
hii ndio bank yangu ya ghetto
sihitaji riba maana usawa unakaba
bora kwenye haba haba hapa najaza kibaba
kibubu, bank yangu ya ghetto


Saksikan Video Kibubu - Cloudy 9 Lyrics Berikut ini..


Random Song Lyrics :

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...

LIRIK YANG LAGI HITS BULAN INI

Loading...