lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Homa Ya Mapenzi - Bonge la Nyau Lyrics


By: Admin | Artist: B bonge la nyau | Published: 2024-21-09T19:54:29:00+07:00
Homa Ya Mapenzi - Bonge la Nyau LyricsLirikku.ID - Homa Ya Mapenzi - Bonge la Nyau Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Homa Ya Mapenzi - Bonge la Nyau Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton B bonge la nyau. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Homa Ya Mapenzi - Bonge la Nyau Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

[intro: bonge la nyau & barakah the prince]
he*he
nyauloso
(mm, mm, mm, mm, mm*mmm)
(terrano music)
amiga tyga
(…aaah)

[pre*chorus: barakah the prince]
usiku, mchana kutwa ‘naonekana mimi kama zuzu
‘najihurumia
ungejua mateso ya mapenzi yanavyo sulubu
‘ungenihurumia
j*po we sio w*ngu
yote nafanya ni mapito
nabaki k*muachia mungu ‘na kusema

[chorus: baraka the prince & bonge la nyau]
nabaki kulaumu moyo (aah)
moyo (aah)
naulaumu moyo (aah)
ndio unao ng’ang’ania
naulaumu moyo (aah)
moyo, moyo (aah)
naulaumu moyo (aah)
yes!
ndio unao kung’ang’ania
[verse 1: bonge la nyau]
aliyekuwa na utajiri ni kuishi milele
mali na pesa nyingi ‘zote kelele, uh
janjaruka, ota mbawa
wengine mapenzi chawa
twende sawa
wakufunikiwa ‘kawa (what?)
mwenzio nimekunawa (uh)
nimesagala usiku kucha
‘ili nikutunze
nimekwenda pupa, pupa
‘nizisunde
umeniangusha
‘umenifanya nikonde
moyo umeugusa, gusa
‘nisipende

[hook: bonge la nyau]
uh
siku hizi hawapendi ‘wanatamani
hata uwape nini wanadamu
no*no*no
unaweza fanya kitu cha thamani
na bado asiridhike mwanadamu
no*no*no
uh
kama unauziwa bidhaa ya bandia
wanaodhubutu kuitana malkia
tapeli katapeliwa
oh, tapeli kaumia
hii ni homa ya mapenzi na ni homa ya dunia
[chorus: baraka the prince]
mchana kutwa ‘naonekana mimi kama zuzu
‘najihurumia
ungejua mateso ya mapenzi yanavyo sulubu
‘ungenihurumia
j*po we sio w*ngu
yote nafanya ni mapito
nabaki k*muachia mungu ‘na kusema

[chorus: baraka the prince]
nabaki kulaumu moyo (aah)
moyo (aah)
naulaumu moyo (aah)
ndio unao ng’ang’ania
naulaumu moyo (aah)
moyo, moyo (aah)
naulaumu moyo (aah)
ndio unao kung’ang’ania

[verse 3: bonge la nyau]
uh
ndio maana naogopa mapenzi
sababu hayatabiriki
mwenye maisha mazuri
anampenda mwenye dhiki
madada wa mjini ‘wanataka wanamuziki
sikuhizi hadi mala*, ‘anataka hati miliki
hayana masters, hayana degree
hayana rasta, hayana u*’h.b
yamegawanyika ‘kwenye kila rika
wana aibika wenye kila sifa, uh
[hook: bonge la nyau]
uh
siku hizi hawapendi ‘wanatamani
hata uwape nini wanadamu
no*no*no
unaweza fanya kitu cha thamani
na bado asiridhike mwanadamu
no*no*no
uh
kama unauziwa bidhaa ya bandia
wanaodhubutu kuitana malkia
tapeli katapeliwa
oh, tapeli kaumia
hii ni homa ya mapenzi na ni homa ya dunia

[chorus: baraka the prince]
mchana kutwa ‘naonekana mimi kama zuzu
‘najihurumia
ungejua mateso ya mapenzi yanavyo sulubu
‘ungenihurumia
j*po we sio w*ngu
yote nafanya ni mapito
nabaki k*muachia mungu ‘na kusema

[chorus: baraka the prince]
nabaki kulaumu moyo (aah)
moyo (aah)
naulaumu moyo (aah)
ndio unao ng’ang’ania
naulaumu moyo (aah)
moyo, moyo (aah)
naulaumu moyo (aah)
ndio unao kung’ang’ania

[outro: bonge la nyau]
mudy kipara *n*lia, eh
hih!
wideh*deh ‘classic
terrano music
jacky umeme


Saksikan Video Homa Ya Mapenzi - Bonge la Nyau Lyrics Berikut ini..


Random Song Lyrics :

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...

LIRIK YANG LAGI HITS BULAN INI

Loading...