lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Lirik Lagu Benkai - Malkia


By: Admin | Artist: B benkai | Published: 2024-06-07T22:01:06:00+07:00
Lirik Lagu Benkai - MalkiaLirikku.ID - Lirik Lagu Benkai - Malkia: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Lirik Lagu Benkai - Malkia" yang dinyanyikan oleh Toton B benkai. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Lirik Lagu Benkai - Malkia Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

[intro]
benkai oh yeah
oh ooh

[verse 1]
maneno mengi nimesema kwako ya kupagawa
madhila mengi nimetenda kwako ila sio sawa
na ulijitolea nitunzia maisha sina cha kukulipa eeh
na pamoja na visa vya kuudhi kabisa mbali hkunitosa
kile kidogo cha kuokota ndio pia unanilisha
na lako tumbo lasokota bora mimi nimepata
kesho asubuhi unajikokota ili uzidi kutafuta
mimi ni dua kukwombea mola

[bridge]
uchungu wa mwana aujuaye mzazi
sitakudharau mama nisije pata maradhi
mimi bado kijana sijamudu na kazi
ipo siku ntachanua nitakuonea radhi yeah yeah

[chorus]
nakwita nakuita malkia (ayayaya)
na mola akubariki pia (ayayaya)
akupunguzie mashida (shida)
akuongezee baraka (aaaah)
akuondolee mashaka (mashaka)
akuongezee na miaka (aaaah)
[verse 2]
nikikulaghai na kukupiga chenga na pia kukudharau
najua sifai ila bado wanipenda huwezi kunisahau
na upendo wako sio kama wa mabinti wa kutaka visenti
na fadhila zako kw~ngu kamwe hazifichiki nakupenda kishenzi
na moyoni mwako wafadhili kama benki hizo hisia za mapenzi
mimi mwana wako unafiki mi siweki kw~ngu mimi we riziki

[bridge]
uchungu wa mwana aujuaye mzazi
sitakudharau mama nisije pata maradhi
mimi bado kijana sijamudu na kazi
ipo siku ntachanua nitakuonea radhi

[chorus]
nakwita nakuita malkia (ayayaya)
na mola akubariki pia (ayayaya)
akupunguzie mashida (shida)
akuongezee baraka (aaaah)
akuondolee mashaka (mashaka)
akuongezee na miaka (aaaah)

[outro]
hakuna oh hakuna wa kukureplace
namshukuru maulana kwa kunibariki kuwa na wewe
iyeah yeah iyeah
uuuuuuh
[chorus]
nakwita nakuita malkia (yeah)
na mola akubariki pia (ayayaya)
akupunguzie mashida (shida)
akuongezee baraka (baraka aaaah)
akuondolee mashaka (mashaka mami)
akuongezee na miaka (haiyah)


Saksikan Video Lirik Lagu Benkai - Malkia Berikut ini..


Lirik lagu lainnya: