lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Lirik Lagu B boy Blackfire - Nikuite


By: Admin | Artist: B b boy blackfire | Published: 2024-02-07T17:35:21:00+07:00
Lirik Lagu B boy Blackfire - NikuiteLirikku.ID - Lirik Lagu B boy Blackfire - Nikuite: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Lirik Lagu B boy Blackfire - Nikuite" yang dinyanyikan oleh Toton B b boy blackfire. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Lirik Lagu B boy Blackfire - Nikuite Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

nikuite lyrics

verse 1
nikiwa na wewe najihisi nina kila kitu,,,
sioni kasoro kwako napenda kila siku,,,
ulivyo mzuri siwez kuishi bila wivu,,,
nipe kila kitu wanafki watuonyeshe kila beef,,,
—————
aah najinsi umefungashia,,,
nimeshtukia matozi wanavyokudandia,,,
nimetulia kwako sitaki viruka njia,,,
nakuk-mbuka kila nkitaji mizuka dear,,,
—————
nak-miss mamie kila unapokua mbali,,,
wewe ndo utamu w-ngu sitaki kuijua asali,,,
mabitozi wakishua nawajua usiwajali,,,
hawawezi they want to ruin your beautyfull body,,,
—————
kiwanja kipo acha kusita njoo tucheze,,,
siogopi limbwata mtoto wakiafrika kanikoleze,,,
unyagoni mautundu kajiongeze,,,
nionyeshe switch kila nikifika nibonyeze,,,

corus 1

verse 2
walisema sina kitu nitakupa nini,,,
eti sijatulia mwisho nitakupa ukimwi,,,
pumzi shusha chini,,,
nipe uaminifu na mapenzi ya dhati uone jinsi nnavyokuthani,,,
—————
sina ndoto ya mwingine i wanna be with you,,,
i don’t wanna play fast i wanna crip on you,,,
be for you let me put things on you,,,
yani kila unapokwenda mimi nipo tu,,,
—————
nipo juu ya vile unavyotaka kua,,,
unaweza ukachagua kile unachotaka chkua,,,
niuze mashamba ya urithi tule bata,,,
mana umenikamata sijui tuseme ni limbwata au dua,,,
—————
kiwanja kipo acha kusita njoo tucheze,,,
siogopi limbwata mtoto wakiafrika kanikoleze,,,
unyagoni mautundu kajiongeze,,,
nionyeshe switch kila nikifika nibonyeze,,,


Saksikan Video Lirik Lagu B boy Blackfire - Nikuite Berikut ini..


Lirik lagu lainnya: