Mauzauza - Zuchu Feat. Khadija Kopa Lyrics
By: Admin | Artist: Z zuchu feat khadija kopa | Published: 2024-27-09T16:35:42:00+07:00Lirikku.ID - Mauzauza - Zuchu Feat. Khadija Kopa Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Mauzauza - Zuchu Feat. Khadija Kopa Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton Z zuchu feat khadija kopa. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Mauzauza - Zuchu Feat. Khadija Kopa Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.
shunuaa usijipe mapana
eti mwili kujitutumusha
nitakutawanya ka bahari na fimbo ya musa
umejigeuza sudi
sio wa corora wala vogi
na hilo wowowo la kufoji
eti linakupa kodii
ohh leo unikome mwenye kiranga
(mwenye kiranga)
hujanijua vizuri
hili timbwili la vanga
(mwenye kiranga)
ooh leo mbona umeyabananga
(mwenye kiranga)
mi maskini jeuri
sitegemei madanga
(mwenye kiranga)
mauzauza we mwana mauzauza
si wamekushindwa kwenu
walimwengu tutakufunza
mauzauza we mwana mauzauza
si wamekushidwa kwenu
walimwengu tutakufunza
(unaninii kichwa cha chikichi)
(umevaa kinu unatw*ngia mchi)
mwali kigego mwenye nyota ya mitaala
hivi kungwi wako nani wewe?
(atajijuaaa)
uso mitego imedoda biashara
hueleweki si kunguru si mwewe
wadala ubaki dala
mwenzio mimi kibunda
haufai kwa kafara
si mbuzi wewe ni punda
umejivisha ubazazi
kwa mapana na marefu
uso na kazi
si wa ndala wala peku
ooh ooh
ondo ondo mlezi wa wana
we budege zoa zoa
mwali pengo binti mwanya
chuchunge kwa kudonyoa
ooh leo unikome mwenye kiranga
(mwenye kiranga)
hujanijua vizuri hili timbwili la vanga
(mwenye kiranga)
ohh leo mbona umeyabananga
(mwenye kiranga)
me maskini jeuri, sitegemei madanga
(mwenye kiranga)
mauzauza we mwana mauzauza
si wamekushindwa kwenu
walimwengu tutakufunza
mauzauza we mwana mauzauza
si wamekushidwa kwenu
walimwengu tutakufunza
hutayaweza yangu yako yanakushinda
hutayaweza yangu yako yanakushinda
hutayaweza yangu yako yanakushinda
hutayaweza yangu yako yanakushinda
hutayaweza yangu yako yanakushinda
hutayaweza yangu yako yanakushinda
Saksikan Video Mauzauza - Zuchu Feat. Khadija Kopa Lyrics Berikut ini..
Random Song Lyrics :
- you can't see me - cusp lyrics
- imperfect for you (acoustic) - ariana grande lyrics
- awake the soul in me - brad alden lyrics
- steve austin - curly j lyrics
- house music 2 the w❤rld - mainline magic orchestra lyrics
- 들린다면 듣고 있다면 (if you can hear me) - tan lyrics
- дядя (dude) - интакто (intakto) lyrics
- wenn jule - augustnichtdermonat lyrics
- current events - boonta vista lyrics
- ghost of yesterday - kill the lights lyrics