lirikku.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #
.

Wife - Daz baba Lyrics


By: Admin | Artist: D daz baba | Published: 2024-28-09T04:32:51:00+07:00
Wife - Daz baba LyricsLirikku.ID - Wife - Daz baba Lyrics: Halo Lirikku.ID, Dalam konten ini, kami menyediakan chord gitar untuk lagu "Wife - Daz baba Lyrics" yang dinyanyikan oleh Toton D daz baba. Dengan chord yang disajikan, pemula atau penggemar musik dapat dengan mudah memainkan lagu ini dengan gitar mereka sendiri. Kami menyajikan chord dengan akurasi tinggi sehingga pemain dapat mengikuti alunan musiknya dengan baik. Juga, kami akan memberikan informasi tambahan mengenai lirik lagu dan mungkin beberapa tips untuk menyempurnakan permainan gitar. Konten ini cocok untuk penggemar musik yang ingin belajar lagu baru atau bagi mereka yang ingin menikmati kesenangan bermain musik dengan gitar. Silahkan disimak Wife - Daz baba Lyrics Berikut Dibawah ini untuk Selanjutnya.

[instrumentals:]

verse 1: daz baba
daz baba nishakuwa mtu mzima’ mi
sasa nahitaji mrembo wa kuishi nami
kuzaa na kulea, watoto nami
kwenye shida na raha avumulie nami
asinifanye kama barua, asababishe nijaribu kujiua
anipe mapenzi, nimpe mapenzi
naye aya enzi, asinifanyie ushenzi

pre: chorus
ntafurahi nikimpata’ mwenye sifa zote nnazotaka
kiuno anajua kukata, mpaka’ mi nimeshindwa k*muacha

chorus:
muda umeshafika, nafikiri sasa nahitaji wife wa kuishi nami
warembo wako wengi ata sijui yupi atakaye faa’ ya kuishi nami
muda utafika, kila mmoja naye atahitaji wife wa kuishi naye
na kila mmoja ndiye atajuwa yupi hasa’ atakaye mfaa’ ya kuishi naye

verse 2: ngwair
ishakuwa soo’ mtaani kashfa kibao
ngwair’ nshaamua sasa milupo, no!
nahitaji honey, mwandani, aendane nami
kwanzia tabia mpaka vitu fulani, yaani ikiwezekana apandishe hata majani, ila’
asiwe ana*bore ka anapokuwa nami
awe’ ana kata viuno, aliyefunzwa unyagoni ( what )
tuwapo kitandani anipe burudani (ha ha)
na’ anipende mi, mi kama mi
(?) sio kisa eti mimi msanii ( kweli )
au labda naonekana sana kwenye t.v. ( no )
bali waku nishauri juu ya h.i.v
awe’
mwenye lips pana…
ndo maana’ ndo moja ya vitu ambavyo vinanichanganya
na’
akicheka ana mwanya…
yo, sitakuwa na cha kufanya zaidi ya k*mpenda sana…
yeah!
ngwair!
chorus:
muda umeshafika, nafikiri sasa nahitaji wife wa kuishi nami
warembo wako wengi ata sijui yupi atakaye faa’ ya kuishi nami
muda utafika, kila mmoja naye atahitaji wife wa kuishi naye
na kila mmoja ndiye atajuwa yupi hasa’ atakaye mfaa’ ya kuishi naye

verse 3: daz baba

long time’ namzimia huyu shawty, niliamini yeye ndio atayenifaa…
sikuwahi hata kupiga nae stori, ila siku moja maskani nimekaa’ nashangaa’ kupokea yake barua
anadai mi ndo nnaye mchengua…
hata jibu la k*mpa, (?) sikujua, nikamwambia basi mama, moyo w*ngu chukua…
ntashukuru k*mpata’ mwenye sifa zote nnazotaka
kiuno anajua kukataa, mpaka’ nimedata si ntomuacha

chorus:
muda umeshafika, nafikiri sasa nahitaji wife wa kuishi nami
warembo wako wengi ata sijui yupi atakaye faa’ ya kuishi nami
muda utafika, kila mmoja naye atahitaji wife wa kuishi naye
na kila mmoja ndiye atajuwa yupi hasa’ atakaye mfaa’ ya kuishi naye

hook: ngwair
ma*sista doo’ sasa wakati ndo umefika
kuonyesha uwezo wenu wa kukatika
tuone nani ambaye anayeweza kupagawisha
ili mi niweze funga nae pingu za maisha
ma*sista doo, ule’ wakati ndio umefika
kuonyesha uwezo wenu wa kukatika
tuone nani anayeweza kutudatisha
mmoja wetu’ aweze kufunga naye za maisha…
[instrumentals:]

outro: ngwair
“mi’ nahitaji wife, kwasababu mi nimetoka kwa wife, ndo nkaja mie
uh…
nadhani na wewe utahitaji wife, ha ha!
nani anafaa kuwa wife? yeah
hilo ndo swali…
daz baba
ngwair
p*funk
bongo records


Saksikan Video Wife - Daz baba Lyrics Berikut ini..


Random Song Lyrics :

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...

LIRIK YANG LAGI HITS BULAN INI

Loading...